FOR THE ENTERTAINMENT UPDATES & INTERVIEWS

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Jumatatu, 1 Januari 2018

MASOUD KIPANYA AIBUKA

Baada ya habari kuenea kila kona ya Tanzania na nje ya nchi pia hatimaye mtangazaji wa power breakfast ya clouds FM na mchora katuni masoud kipanya ameweza kuibuka instagram na kupost ujumbe kama unavouona katika picha hiyo
Kwa mbivu na mbichi ili kujua ni kipi kilichomsibu usikose kutizama kesho asubuhi clouds 360 ndani ya clouds tv
Imeandikwa na yusuph swaleh

PAPI KOCHA AJICHORA PICHA YA RAISI

Mashabiki wengi wa manguli wa music kutoka Tanzania{babu seya na papi kocha} walikuwa wakisubiria kwa hamu kwamba manguli hao wa music baada ya kuachiwa huru kutokana na tamko la raisi wa Tanzania MH john pombe magufuli ni shukrani ipi ambayo wangeweza kuitoa
   Lakini leo 01-01-2018 imeweza kuenea kwa picha inayomuonesha papi kocha akiwa amejichora tatoo ya picha ya raisi magufuli kama fadhila za kuachiliwa huru
    Pia papi kocha ameonekana katika picha hiyo akiwa amevaa t shirt iliyo na picha ya raisi na yenye maandishi yanayosomeka"tukutane kazini"
Jambo hilo ni kumuonesha raisi magufuli kwamba sasa hivi wapo tayari kuchapa kazi ili maisha yao yaweze kuendelea kama kawaida
   Pia tufatilie YouTube kwa kuandika yuzhassal tv

Jumanne, 26 Desemba 2017

MSAMI KWENYE KITI CHA MOTO AFUNGUKA HAYA

Mwanamuziki wa bongo fleva na dancer msami ameweza kufunguka mambo mengi sana alipofanya mahojiano na @shadee_weriss wa clouds E ya clouds tv
     Kwanza kabisa ni pale alipooulizwa kuhusiana na colabo yake bora ya mwaka 2017 na akaitaja collabo aliyofanya na chemical
     Jambo la pili ni pale alipoulizwa kwamba ni yupi msanii bora kwake kwa mwaka 2017
  Msami kwa hisia kali aliweza kufunguka kwamba msanii bora kwake 2017 ni aslay
     Jambo la mwisho lililotaka kumtoa machozi msami ni pale alipoulizwa "kitu ambacho hawezi kukisahau kwa mwaka 2017"
  Msami alifunguka kwa hisia Kali na kusema ni pale alipopata ajali iliyoyompelekea kushindwa kufanya baadhi ya shows na zingine alizojikaza kisabuni kuzifanya hazikuwa katika quality ya msami
  Lakini msami hakusita kutoa shukrani kwa watu waliokuwa nae bega kwa bega katika matatizo hayo kwa kumtaja kwanza kabisa manager wake,wazazi wake lakini pia marafiki zake wa karibu
Imeandikwa na yusuph swaleh

AHADI YA MR T TOUCH 2018 HII HAPA

Producer anayetamba sasa bongo MR T TOUCH ameweza kufunguka nyimbo tano anazozikubali katika mahojiano aliyofanya na ayo tv
Top five hiyo hii hapa chini imesogezwa na yusuph swaleh
01.young d~bongo bahati mbaya{BBM}
02.dully sykes~bombadier
03.jay more~bata
04.bill nass~mazoea
05.roma~zimbabwe
Lakini pia touch katika mahojiano hayo na ayo tv ameahidi kuwa mwaka 2018 miongoni mwa msanii ambaye atafanya nae nyimbo nyingi ni jmore kwa hilo mashabiki wa touch na j more pia wategemee nyimbo nyingi 2018
Imeandikwa na yusuph swaleh

Jumatatu, 25 Desemba 2017

JIPYA KUTOKA KWA BARNABA HILI HAPA


Ikiwa zimebaki siku sita tu kabla ya kuumaliza mwaka 2017 na kuingia 2018, staa wa Bongofleva Barnaba boy ametangaza kuwaaga mashabiki wake kwa mwaka huu na atakuwa kimya kimziki kwa muda.

Mkali huyo wa sauti na uandishi wa nyimbo Bongo, ameweka wazi kuwa ukimya wake utaanzia kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na kujipanga namna ya kuuanza kwa kishindo mwaka 2018.

“Nikiwa najitoa kwenye mitandao ya kijamii kidogo, ningependa kuwatakia mashabiki, marafiki na familia yangu Heri ya Christmas na Mwaka Mpya”, amefunguka Barnaba kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Pamoja na kujitoa kwake nyota huyo anayetemba na ngoma yake ya Mapenzi Jeneza ameongeza kuwa anajiweka vizuri kuanzia mwonekano mpaka sound ya hit zake zijazo.

“Ninapumzika kidogo ili kuweka mipango yangu vizuri kwaajili ya mwaka 2018. Nitawaletea Barnaba mpya mwenye kila jipya kimuziki na hata Sound” amesema barnaba
Na yusuph swaleh

Jumamosi, 25 Novemba 2017

TIBA ASILI YA M'BA KATIKA NYWELE HII HAPA

JINSI YA KUONDOA MBA KWENYE NYWELE ZAKO KWA KUTUMIA LIMAO AU NDIMU!

Wengi tunasumbuliwa sana na mba katika nywele zetu.
Je Unajua njia za Kuondoa tatizo la mba katika nywele?
Kuna njia nyingi za asili za kuondoa mba kwenye nywele , Leo tutaangalia moja Kati ya njia hizo; lakini kwanza tuangalie, je mba zinasababishwa na nini?

Hili ni swali ambalo mara nyingi wengi wetu tunawezatoa majibu tofauti kwa kudhani Mba zinasababishwa na uchafu pekee katika nywele.
Lakini ukweli ni kwamba mba zinasababishwa pia na ukavu wa ngozi inayobeba nywele zako.

JINSI YA KUONDOA MBA KWA KUTUMIA LIMAO AU NDIMU!

Limao na ndimu ni matunda unayoweza kutumia kuondoa mba katika nywele zako.
Kuna njia mbili za kutumia LIMAO AU NDIMU

Njia ya kwanza ni kata limao katika vipande, kamua maji yake kama kijiko kimoja hivi kisha jaribu kupaka hayo maji katika ngozi ya kichwa chako bila kuchanganya na vitu vingine. Hapa paka hayo maji ya limao chini ya ngozi na kwenye nywele. Baada ya dakika kadhaa osha nywele zako kwa maji safi.

Njia ya pili ya limao ni, kamua maji ya limao kijiko kimoja changanya na maji safi ambayo hayajachanganywa na kitu chochote, kisha osha nywele zako.
Fanya hivyo kila unapohitaji kuosha nywele kwakutumia mchanganyiko huo kama shampuu.

Faida za Limao au Ndimu katika Nywele!
Matunda haya yana citric acid ambayo pia husaidia kuondoa fangasi katika nywele.

Pia ni tiba kwa magonjwa ya ngozi kwa ujumla katika mywele. 
Vilevile limao na ndimu husaidia nywele zikue haraka.


Jumatano, 15 Novemba 2017

DADA YAKE MICHAEL JACKSON HATARINI

Dada yake Michael Jackson anayekwenda kwa jina la Janet Jackson yupo hatarini hiyo ni baada ya kufanya plastic surgery ya pua yake alipokuwa na umri wa miaka 16
Kutokana na plastic surgery hiyo imepelekea pua ya Janet Jackson kuanza kumomonyoka na kubabuka jambo ambalo lilishawahi kumtokea kaka yake the late Michael Jackson
Hiyo iliripotiwa na jarida lenye kuaminika nchini marekani
Lakini baada ya newyork post kufanya mahojiano na daktari (Matthew schulman)anayejihusisha na plastic surgery alithibitisha kuwa pua ya dada yake Michael Jackson ipo katika hatua mbaya hiyo ni baada ya janet jackson kufanya plastic surgery zaidi ya mara moja

Endelea kutufuatilia pia YouTube kwa kuandika yuzhassal tv